Bunge Laahirishwa Ghafla Tena leo, baada ya Wapinzani kugomea Muswada wa Mafuta na Gesi Asilia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Waziri wa Nishati na madini George Simbachawene alipoanza kusoma kwa mara ya pili Muswada wa mafuta na gesi asilia(Muswada juu ya Petroli, 2015 The Petroleum Act, 2015), Tundu Lissu alisimama na kuomba Kuhusu utaratibu, Spika hakumpa nafasi, ndipo wabunge wote wa UKAWA Waliposimama na kuanza kupiga kelele wakisema Muongozo muongozo..!!.

Spika Kamuomba Waziri aliyekuwa anasoma Hotuba akakae kisha akawataja baadhi ya wabunge kwamba ndio wanaoleta fujo bungeni kwa kosa kutokana na kanuni ya kuleta fujo bungeni ambao ni:

1.John Mnyika Mbunge wa CHADEMA jimbo la Ubungo

2.Tundu Lissu Mbunge wa CHADEMA jimbo la Singida Mashariki

3.Ernest Silinde Mbunge wa CHAEMA jimbo la Mbozi Magharibi

4.Rashid Ali Abdalla mbunge wa CUF jimbo la Tumbe Zanzibar

5.Paulina Gekul Mbunge wa Viti Maalumu wa CHADEMA wa Mkoa wa Manyara

6.Moses Joseph Machali Mbunge wa NCCR-Mageuzi Jimbo la Kasulu Mjini

7.Rajab Mbarouk Mbunge wa CUF Jimbo la Ole Zanzibar

8.Felix Francis Mkosamali Mbunge wa NCCR Mageuzi jimbo la Muhambwe

9.Rev. Simon Peter Msigwa Mbunge wa CHADEMA jimbo la Iringa Mjini

10.Joseph Roman Selasini Mbunge wa CHADEMA jimbo la Rombo

11.Khalifa Suleiman Khalifa Mbunge wa CUF Jimbo la Gando Zanzibar

Bunge limesitishwa hadi watakapoitwa tena na Spika, vilevile kamati ya Maadili imeitwa kujadili hili Swala.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad