AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muda unavyozidi kwenda ukweli wa hii stori unachukua nafasi zaidi, kwenye ukurasa wa @Twitter wa Rais JK kathibitisha majina haya matano kupitishwa na Kamati Kuu ya CCM Dodoma.
“Kamati Kuu imefanya kazi ya kwanza. Majina matano ya awali ni: Bernard Membe John Magufuli Asha Rose Migiro Januari Makamba Amina S. Ali“– @jmkikwete
Kamati Kuu imefanya kazi ya kwanza. Majina matano ya awali ni:
Bernard Membe
John Magufuli
Asha Rose Migiro
Januari Makamba
Amina S. Ali
— Jakaya Kikwete (@jmkikwete) July 11, 2015
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ilikuwa inajulikana toka zamani, hawezi mtupa mdogo wake wa damu atiiii Membe ni baba mmoja mama mbalimbali wengine wanasindikiza jahazi.
ReplyDelete