Wagombea Urais Wanne (4) CCM washindwa kurejesha Fomu Dodoma...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wagombea 38 kati ya 42 wanaoomba kuteuliwa na CCM kugombea Urais,wamerejesha fomu hadi saa 10:30 jioni julai 2,2015.Kati ya hao Wagombea wanne waeshindwa kurejesha fomu.

Hapa chini ni majina ya wagombea urais ambao wameshindwa kurejesha fomu hizi.

Wagombea ambao hawajarejesha fomu ni pamoja na Dr Kalokola, Hellena Dina Elinawinga, Anthony Chalamila na Peter Nyalali

Baada ya kukamilika kwa kazi ya urejeshaji wa fomu, makada hao 38 watasubiri kufanyika kwa vikao vya juu vya maamuzi.

Vikao hivyo ni pamoja na Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa itakayokutana Julai 7 na Kamati Kuu (CC) itakayokutana Julai 8, chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete, ikifuatiwa na kikao cha Nec Julai 9, mwaka huu.

Mchakato wa kumpata mgombea urais atakayepeperusha bendera ya CCM katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, utahitimishwa Julai 11, mwaka huu na Mkutano Mkuu wa Taifa CCM ambao ni maalum kwa ajili kulipigia kura jina la mgombea mmoja kati ya watatu.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad