Wakaka na Uongo Uongo na Maisha Feki Wanapomtaka Msichana..Mnaboa Sana....Hamjui tu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wakaka wengine wana haraka sana kuanzisha mahusiano ya kimapenzi mpaka ku fake maisha. Hata muondoko na kuzungumza atabadilisha, ataazima gari na kudanganya ni lake, nguo ataazima, au hata kazi hana lkn atadanganya eti nina degree au nafanya kazi mahali fulani kumbe muongo...atasema ana kiwanja mahali fulani, ana hiki na kile kumbe anataka ampate msichana msichana fulani....tena ukute msichana mwenyewe atampenda kwa dhati si sababu ya maneno matamu na mali alizotajiwa.... Msichana ukikutana na mkaka wa hivyo anaanza kujinadi nina hiki, kampuni, baba yangu bosi mama yangu vile...kaka yangu anaishi ulaya...huyo kaka ni muongooo hata kama kuna ukweli ni asilimia 5/100

Jaman wakaka msijaribu kufanya hivyo. Sawaa utampata msichana kwa njia hizo...lkn hamtadumu na mwisho utakua mbaya sana maana umejenga mahusiano yako kwenye uongo. Uwe wewe, huna pesa, huna gari huna lolote mtu atakupenda jinsi ulivyo si ulivyonavyo.

~Mrekebishatabia

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. mpaka ukishapiga na aujue ukweli nishakamata totoz tofauti kwa style hizo

    ReplyDelete

Top Post Ad