AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza kwenye kipindi cha Friday Night Live cha EATV, Mirror alisema hawezi kufurahi kumuona ‘dogo’ tu akimtongoza bosi wake.
“Mimi sina matatizo na Nuh cha kwanza na sikurekodi kwa nia ya watu wasikilize,” alisema. “Kwa sababu hata tukiongea ukweli Nuh na madam ni vitu viwili tofauti, [Wema] ni boss, mkubwa hata kwangu. Mimi nilikuwa naangalia movies na sikurekodi kwa nia hata kama akija kusikia girlfriend wake ajue Nuh ndio alikuwa anamsumbua madam,” aliongeza.
“Sijawahi kusikia mtu mwingine akimtongoza madam, siwezi kufurahi Nuh akimtongoza bosi wangu kwa sababu yeye ni dogo kama mimi, halafu yeye ana mwanamke wake pia.”
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Wewe hungekua hunatoka mtaa wangu snitch, you will be eating cheese you know how it's snitch get stich, you know what time it is
ReplyDeleteAnonymous 2:45 tafuta mwalimu wa english.
ReplyDeleteNa wewe Mirror mkome Nuh mbona CK alivyomtongoza huyo bosi malaya wako hatukukusoma hapa.?? kajambe kulee usituchafulie hali ya hewa hapa.mcxxxx
Anonymous 2:45 tafuta mwalimu wa english.
ReplyDeleteNa wewe Mirror mkome Nuh mbona CK alivyomtongoza huyo bosi malaya wako hatukukusoma hapa.?? kajambe kulee usituchafulie hali ya hewa hapa.mcxxxx
wewe mwenyewe umemtongoza malaya wote tu wewe na huyo boss wako fala.Turekodie na hao wengine wanaomtongoza,unamuonea wivu akitongozwa mkeo huyo?sura imekomaa kwa mkorogo wa boss wako.
ReplyDeletewewe mwenyewe umemtongoza malaya wote tu wewe na huyo boss wako fala.Turekodie na hao wengine wanaomtongoza,unamuonea wivu akitongozwa mkeo huyo?sura imekomaa kwa mkorogo wa boss wako.
ReplyDeletewewe mwenyewe umemtongoza malaya wote tu wewe na huyo boss wako fala.Turekodie na hao wengine wanaomtongoza,unamuonea wivu akitongozwa mkeo huyo?sura imekomaa kwa mkorogo wa boss wako.
ReplyDeleteHunasema nini wewe 7:07 kwani snitches don't get stitches au we call snitches Rat and Rat eat cheese
ReplyDelete