Baada ya Kuwa Mpweke Muda Mrefu Penny Aibuka na Kusema Akipata Mwanaume Bora Anazaa Soon

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Penniel Mingilwa ‘Penny’
Na imelda mtema
Hosti wa Kipindi cha Bongo Star Search, Penniel Mingilwa ‘Penny’ amefunguka kuwa suala la kupata mtoto lipo kwenye akili yake lakini litatimia tu endapo atapata baba bora.

Akizungumzia maisha yake ya kimapenzi kwa sasa Penny alisema kuwa, hawezi kuyaanika kwa sasa ila ukweli ni kwamba hamu ya kuitwa mama anayo na anaamini akimpata mwanaume sahihi anayeweza kumudu jukumu la kuwa mzazi, atazaa na kuyaacha maisha yaendelee.

“Kwa maneno haya mtu anaweza kudhani nabagua lakini ninachotaka mimi ni kuwa na baba wa mwanangu anayejua maana ya familia nisije kumuumiza mtoto wangu bure,” alisema Penny.
Source:GPL
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad