AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Penniel Mingilwa ‘Penny’ |
Hosti wa Kipindi cha Bongo Star Search, Penniel Mingilwa ‘Penny’ amefunguka kuwa suala la kupata mtoto lipo kwenye akili yake lakini litatimia tu endapo atapata baba bora.
Akizungumzia maisha yake ya kimapenzi kwa sasa Penny alisema kuwa, hawezi kuyaanika kwa sasa ila ukweli ni kwamba hamu ya kuitwa mama anayo na anaamini akimpata mwanaume sahihi anayeweza kumudu jukumu la kuwa mzazi, atazaa na kuyaacha maisha yaendelee.
“Kwa maneno haya mtu anaweza kudhani nabagua lakini ninachotaka mimi ni kuwa na baba wa mwanangu anayejua maana ya familia nisije kumuumiza mtoto wangu bure,” alisema Penny.
Source:GPL
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK