AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwandishi huyo ametimuliwa kwa kosa la kuripoti tukio la mgombea huyo kuzomewa na wafuasi wa Chadema jijini Mbeya hivi karibuni kinyume cha
makubaliano.
Mwandishi huyo aliripoti katika gazeti hilo kwa kichwa cha habari "Magufuli akabiliana na UKAWA Mbeya" na kuweka picha ya mgombea huyo akionyeshwa alama ya vidole viwili.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Oops kusema ukweli mnamfukuza
ReplyDeleteKumbe waandishi wote kwenye msafara wa magufuli huandika uongo toba
Na aje ukawa Hakuna shida
haha haaaaaaa wanachemsha safari hii watu mtaani wanataka mabadiliko tuu
ReplyDeleteUnafukuzwa kwa kudeka ukweli. COM inatska udanganye ndipo utunze kazi.
ReplyDeleteCCM hiyo
DeleteHakuna aliyefukuzwa acheni umbea,,,,, mbona mna presha wakati ukawa nchi yenu na lowasa ka ahidi kuwaletea mabadiliko mpaka kwenye vijiji vyenu babu na bibi zenu watalimia matrekta kuweni wapole basiii people's pawer ikulu yenu.
ReplyDeleteAjitokeze aseme adharani kama kafukuzwa kazi kwa ajili hiyo.
ReplyDeleteTabia yao ukiwa ccm hukamtaja ccm mwizi unafukuzwa hinabidi usubiri hatoke ccm ndio humwite mwizi sasa jua kuna wezi kibao bado wako ccm
ReplyDelete