TFF imemfungia Mchezaji Nyoso Kwa Miaka Miwili Kucheza Mpira wa Miguu Baada ya Kumshika Mchezaji Mwenzie Makalio

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kamati ya masaa 72 ya uendeshaji wa Ligi Kuu iliyokutana leo kupitia ripoti mbalimbali za michezo iliyochezwa ya Ligi Kuu na Ligi Daraja la Kwanza nchini imemfungia mchezji Juma Nyoso wa timu ya Mbeya City kucheza mpira wa miguu kwa kipindi cha miaka miwili na faini ya shilingi milioni mbili (2,000,000) kufutia kitendo cha udhalilishaji alichomfanyia mchezaji wa Azam FC John Bocco.

Nyoso alifanya kitendo hicho katika mchezo no namba 32 wa VPL kati ya Azam FC na Mbeya City uliofanyika kwenye uwanja wa Chamazi, Dar es Salaam, kutokana na kuwa tabia ya kufanya vitendo hivyo vya utovu wa nidhamu mara kwa mara kwenye michezo ya Ligi Kuu.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

9 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Huyo Nyoso nafikiri anachukua sana 'ma-kaka poa' ndio maana ameshazoea , kama ameoa atakuwa 'anamruka ukuta' mkewe, na ameshakuwa 'teja' wa mchezo huo, wala hakumbuki kama yupo uwanjani na kuna watazamaji na kamera kila kona, kubwa zaidi mchezo unarushwa live. Na akafanye kazi nyingine sasa, mpira wa miguu umemshinda

    ReplyDelete
  2. Athabu ndogo hiyo, angeongezewa kifungo kwa sababu ameshazoea kufanya vitendo hivyo

    ReplyDelete
  3. Duh!! Hilo dole alivyolididimiza, kweli alipania.
    Sio bure, huyu jamaa ni mfiraji!

    ReplyDelete
    Replies
    1. Wapenzi hawa angalia macho wanavyotizama
      Kwani asimitie ngumi Kama hapendi

      Delete
    2. ADHABU NDOGO SANA!!!! ALITAKIWA AFUNGIWE MAISHA!!

      Delete
  4. Hiyo adhabu ni ndogo mno kulinganisha na kitendo alichokifanya, tena sio mara yake ya kwanza, alishawafanyia wachezaji wengi, kuanzia mchangani hadi ligi kuu. Angefungiwa miaka miaka 5 au zaidi, na faini angalau milioni 10, kiasi apewe J. Bocco.

    ReplyDelete
  5. Adhabu hiyo iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama hizo

    ReplyDelete
  6. Wapenzi hawa tazama walivyotazamana

    ReplyDelete

Top Post Ad