AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aliyekuwa Mgombea wa Ubunge Kahama Kwa Kupitia Tiketi ya Chadema Amevunja Ukimya na Kuandika Haya Hapa Chini Katika Page yake ya Facebook:
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Umebugi mzee, tandika shuka ulale.. Hii nchi ina amani na utulivu sababu ya CCM, ingeshinda Chadema kungekuwa na vurugu, watu wangeibiwa, maduka yangefungwa, lakini sasa kuko shwariiii. Mnakataa matokeo ya urais, mbona ya wabunge hampingi?? CCM inaongoza kwa idadi ya wabunge, haiingii akilini mtu amchague mbunge wa CCM amwache jemedari wake muadilifu Magufuli, akamchague huyo FISADI, TINGATINGA Tumemsikia, Tumemuelewa, Tumemchagua..... NANI AMENUNA??
ReplyDeletekumbe hujui kura mpaka za wabunge zimeporwa na ccm. wamepitisha wa2 wao mfano wilayani kyela kuna malalamiko yule mbunge aliyetangazwa akushinda.
Deletekweli mzee
ReplyDeleteNi kama taifa lipo kwenye msiba mzito! Kuna wakati nilidhani simu yangu mbovu maana Ni ukimya usio kifani.
ReplyDeleteUsijali Mzee Lembeli, freedom is coming tomorrow! Watu tutaheshimiana.
Ni kama taifa lipo ktk msiba mzito! Mi nilidhani simu yangu mbovu, maana Ni ukimya WA ajabu!
ReplyDeleteBut worry nothing bse freedom is coming tomorrow, tutaheshimiana
Hizi kura millioni tisa ziko wapi
ReplyDeleteNani angeanzisha vurugu toka lini ukasikia alieshinda akaanzisha virus,kama wangepewaushindiChadema ina maana ambao wangepinga ndio wangeanzisha vurugu.mmejazwa ujinga eti bila Ccm nchi itaingiakwenyevita sababu nini?
ReplyDeleteUMEBAKI UNALIA KAMA MBWA MDOMO JUU SASA NENDA KALIME
ReplyDelete