Davido Awagombanisha Agness Masogange na Diva...Masogange Amshangaa Diva Kugombana na Kila Mtu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Agness Masogange
KITUKO! Mtangazaji wa kituo cha redio cha Clouds, Loveness Malinzi ‘Diva’ na Video Queen maarufu Bongo Agness Jerald ‘Masongange’ wamejikuta wakiingia katika ugomvi, kisa kikiwa ni msanii wa muziki wa Nigeria, Davido.

Akizungumza na gazeti hili, Masogange alimlaumu Diva, kwa kitendo chake cha kuandika katika ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram kuwa alizungumza na Davido ambaye alikana kuwa na uhusiano na msichana yeyote kutoka Tanzania.


Kinachonishangaza kwanini Diva afikie hatua ya kumpigia mpaka Davido kumuuliza kuhusu uhusiano wangu na mwanamuziki huyo, kitu ambacho kimeshangaza hata msanii mwenyewe,”alisema Masogange.
Diva Loveness wa Clouds FM

Masogange alionesha kwenye akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa Instagram meseji alizokuwa akimtumia mwanamuziki huyo, akishangazwa na dhamira ya swali hilo.“Inawezekana Diva anatafuta kiki kupitia jina langu, maana kila mtu anagombana naye, sasa huyo ni mtu wa aina gani jamani,” alisema Diva.

Diva, mmoja kati ya wanahabari wenye jina kubwa, alitafutwa kupitia simu yake ya kiganjani, lakini kwa muda mwingi iliita bila kupokelewa.
GPL

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad