AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kaka wa Waziri Kigoda anayefahamika kwa jina la Sadick amekanusha habari zilizoenea kuwa Waziri Kigoda amefariki ambapo amesema kuwa Mh. huyo anaendelea kupatiwa matibabu ya figo na hali yake kwasasa ni bora kuliko wakati anapelekwa.
" Nimepokea simu zaidi ya 60 zikinipa pole ya kuwa tumefiwa, nikaamua kuwasiliana na dada yetu ambaye yuko na mgonjwa nchini India na amenithibitishia kuwa Mh. Abdallah Kigoda ni mzima na afya yake inazidi kuimarika" amesema kaka wa Waziri Kigoda
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Wagonjwa hao wapo tele CCM
ReplyDeleteWako India kwa pesa yetu
Duh
ReplyDelete