AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza jana kwenye kipindi cha Mkasi TV kinachorushwa kupitia kituo cha runinga cha EATV, Idris alisema hajawahi kutoka kimapenzi na Miss Tanzania huyo wa mwaka 2006 kama watu wanavyosema.
“Kwahiyo mimi nikiwa natembea na Wema haimaanishi kuna kitu chochote kinaendelea, rumors has nothing,” alisema Idris.
Pia Idris alieleza anawezaje kuwa karibu na Ommy Dimpoz, Diamond pamoja na Wema Sepetu wakati wasanii hao hawaelewani. “Kiukweli ni ngumu lakini hawa ni watu ambao mimi nawahitaji kwenye maisha yangu bila kujali sijui kama wao wananihitaji, ni watu ambao walininspire,” alisisitiza.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kwani bibie hayuko kwenye kampeni za CCM
ReplyDelete