Tazama mahojiano ya Young Dee kupitia kipindi XXL ya Clouds Fm, alipokuwa akizungumzia kuhusu kutengana na label yake ya zamani MDB. Hii ni baada ya boss wa kampuni hiyo Max Rioba kudai kuwa rapper huyo alizingua. Itazame interview yote hapa Kama hukupata nafasi ya kuisikiliza iliporuka wiki iliyopita.
----
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia BofyaHAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.