AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aunty Ezekiel |
Gari analodaiwa kupewa zqawadi Aunt.
Mara tu baada ya ‘kuposti’ picha za gari hilo, baadhi ya mashabiki wa Aunt ambao ni watu wake wa karibu waligawanyika, wapo waliodai gari hilo lilitokana na kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wengine walidai amehongwa bila kumtaja mtu aliyemuhonga.“Jamani Aunt si useme tu kuwa gari umehongwa? Usimsingizie Moze Iyobo na kama si hivyo basi ni fedha ulizopata kwenye kampeni si bure,” alisema mmoja wa mashabiki wake hao.
Alipobanwa na mwandishi wetu, Aunt alifunguka kwamba, hana la zaidi kwani ameshaweka wazi gari hilo amelitoa wapi na asiyeamini abaki hivyohivyo. “Nimenunuliwa na baba Cookie, hayo mambo yenu ya kampeni mimi siyajui wala sijahongwa kwani hakuna mwenye ubavu wa kunihonga kwa sasa,” alisema Aunt.
GPL
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ha ha ha ha baba Cookes haya weee na baba Cake yeye akakupa nini? shame on you
ReplyDelete