AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ni jambo la kusikitisha kuwepo upotevu wa kiasi kikubwa cha pesa kwa ukwepaji kodi wa makontainer 349 yenye thamani billion 80 wakati wenye dhamana ya kulinda mali hizi zisipotee wakina Mwigulu Nchemba, Saada Mkuya, Katibu Mkuu wizara ya fedha wakiwa nje bila kuchukuliwa na hatua yoyote kama walivyo wenzao sita walioachishwa kazi na kuwekwa chini ya uchunguzi, haiwezekani makontiner idadi kubwa kama hii ipotee billa wakuu hawa kujua lolote, tunaiomba serikali iwafuatilia na kuwawajibisha mara moja, hivyo hivyo katika uongozi wako Mh. Tingtinga untakiwa kuwafyeka wote. Vivyo hivyo tnataka taarifa sahii ya maandishi kuonyesha kama fedha zlizoamriwa kulipwa kutoka kwa wana-ESCROW kama zimelipwa kwa wakati.
Jamii Forums
Jamii Forums
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hata kikwete naye Atiwe ndani
ReplyDelete