Breaking News:Rais Magufuli Akamilisha Uteuzi wa Baraza la Mawaziri, Makame Mbalawa Abadilishiwa Wizara

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais Dkt. John Pombe Magufuli amemalizia kujaza nafasi za uteuzi wa Mawaziri na Naibu Waziri alizobakiza wakati akitangaza baraza la Mawaziri la kwanza katika awamu ya tano ya utawala wake, na hawa ndio waliopata nafasi hiyo.

#BREAKING: Rais Magufuli amemteua Profesa Jumanne Maghembe kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii

#BREAKING: Rais Magufuli amemteua Dkt. Philip Mpango kuwa Waziri wa Fedha na Mipango (Ni baada ya kumteua kuwa Mbunge) 15

#BREAKING: Rais Magufuli amemteua Mhandisi Gerson Lwenge kuwa Waziri wa Maji na Umwagiliaji

#BREAKING: Rais Magufuli amemteua Dkt. Joyce Ndalichako kuwa Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi

#BREAKING: Rais Magufuli amemteua Hamad Masauni kuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi

#BREAKING: Rais Magufuli amemteua Prof. Makame Mbarawa kuwa Waziri wa Ujenzi, uchukuzi na Mawasiliano
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

12 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Waziri na naibu wa mambo ya nje waangalie swala la maofisa ubalozi Kuala nje za nje kwa miaka mingi kupita miaka yak waliotakiwa.kuna maofisa wako zaidi ya miaka 10_15.wanasubiria enjoy tu na familia zao.Wakati kuna maofisa wako bongo wanasubiria post .length ni kubadishana lakini serekali iliyopita inawaacha tu

    ReplyDelete
    Replies
    1. Huyu atakuwa Mjenga aliyewaliza viongozi wa awamu iliyopita
      Kuiba pesa za uchaguzi balozi Mahinga huyu mtoto nyoka
      Kwanza si Mtanzania mkenya japo kasoma na kukulia Tanzania
      Mwogope kama ukoma
      Alipata post UN akatamba eti post hiyo hajasaidiwa na Migiro

      Uhamiaji angalieni uhalalili wake
      Mama mpka kesho yupo Kenya na mkenya

      Delete
  2. Waziri na naibu waziri wa mambo ya nje waangalie swala na maafisa ubalozi Kukaa nje mda mrefu, kupita muds wao kuna maafisa wako miaka 10-15.Wakati wengine wakisubiri Tanzania kupata post, serekali ya has kazii tuu , iangalie hilo swala .serekali iliyopita hakujali

    ReplyDelete
  3. Waziri na naibu waziri wa mambo ya nje waangalie swala na maafisa ubalozi Kukaa nje mda mrefu, kupita muds wao kuna maafisa wako miaka 10-15.Wakati wengine wakisubiri Tanzania kupata post, serekali ya has kazii tuu , iangalie hilo swala .serekali iliyopita hakujali

    ReplyDelete
  4. Waziri na naibu waziri wa mambo ya nje .waangalie swala na maofisa ubalozi na familia zao Kukaa nje zaidi ya muds wao .wako wallows zaidi ya ya miaka 10-15.Wakati wako maofisa wengine wakiwa bongo wakisubiri post .serekali ya hapa kazii tu waangalie maswala kama hayo

    ReplyDelete
    Replies
    1. Fyuuuuuuuu
      Kama hutoi mpango WA waziri au katibu mkuuuuuuuuuuuuuuuuuu hupati post. Njeeeeee

      Delete
  5. elimu itarudi kwenye ubora wake viva Ndalichako

    ReplyDelete
  6. Yale Yale ya migizo
    Fyuuuuuuuuuuuuuu
    Shame magufuli

    ReplyDelete
    Replies
    1. we wa wapi mshenz wa tabia una mdharau rais wew hata baba ako nyumbani unamdharau

      Delete
    2. Kwa ukubwa gani huyo Magufuli
      1959 mtoto mdogo mvi na kipara fyuuuuuuuuuuuuuu

      Delete
  7. CCM haina jipya Yale Yale kamati kuu
    Chezea Mtu aje na jina la rais mfukoni
    Mmeona hata Magufuli alikuja na majina ya mawaziri si toa kwenye koti

    ReplyDelete

Top Post Ad