AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ali Kiba Amemjibu Ruby Kupitia Ukurasa wake wa Insta na kumuomba msamaha lakini post hiyo haikukaa sana kwani aliifuta baada ya muda si mrefu ila tumeipata na kukuwekea hapa chini;
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
kiba wala hakumwita yeye mbwa
ReplyDeletehuyu dem amejistukia
ila sishangai kwa kiba kutumia ilo jina coz majina mengi ya ruby wanapewa mbwa
ahsante @kingkiba fundi wa mafundi
ReplyDeleteKiba huwa ana vijimaneno vya ajabu sana alafu akibanwa anasema hakumaanisha hivyo, aache ujinga wake watu wote tunauelewa asidhanie hatujui tudadavua maana ya maneno ya kijinga ambayo huwa anaongea aache utoto.
ReplyDeleteUbarikiwe king kiba umefanya la maana msamaha Na maelezo saaafi
ReplyDeleteKiba speed ya mziki WA kibongo inakuzidi uwezo ,unakimbizwa na vijana kibao.... Hyo ya kutumia majin ya wnzio kwa wnyama xx Ni kutafutwa kuandikwa na media tujue uwepo Wako, kk jua linazama
ReplyDeleteHata mbwa wangu anaitwa Ruby,hapo je?
DeleteWabongo tunapenda ujinga na
Deletekuwachonganisha,mimi nina paka anaitwa Mona na nina mbwa anaitwa Tracy.Au tuambieni majina yanayofaa kupewa wanyama basi.