AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya kutangaza kumbwa amejiunga na club ya Genk Samatta ameonyesha furaha lakini pia huzuni wake upo anapotengana na mshkaji wake Thomas Ulimwengu.
Huu hapa ni ujumbe mrefu alioandika Samatta kwa ajili ya Thomas Ulimwengu.
“Am gonna miss you my nigga, hope to have you near me again/Nitaku miss sana rafiki yangu nina imani nitakuwa nawe karibu tena. Ulikuwa mshauri na mtia moyo sana katika vipindi vigumu ila ndio maisha yametupa “No Choice” katika hili. Stay blessed bro your my nigga forever😢😢. Kila nikicheki picha we are pamoja najiskia ku-cry but no way. Wish you do the best in TP bro!!.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK