Benard Membe “Kilichotokea Zanzibar Kimeihuzunisha Dunia”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kilichotokea Zanzibar kimeihuzunisha dunia,” amesema Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe. “Watanzania waelewe, kilichoishitua dunia ni kule kufuta matokeo kwa ujumla wake. Yaani majimbo yote hakuna hata moja lililofanya vizuri? Hapa ndipo tunapata kigugumizi. Sasa tunakwenda wapi, tunafanya kitu gani?
Wanaoungana na Mh. Membe wacomment neno 'YES' na wanaompinga waseme 'NO'
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

7 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Yetu macho
    Bado tuingie mitaani na mavaziiiiiiiiiiii ya kijeshiiiiiiiiii
    Chezea CCM

    ReplyDelete
  2. angeongea mwingine ningesema sawa lakn si membe
    huyu ni mnafiki wa siasa
    nadhan baada ya kukosa uwaziri ndo kaanza propaganda zake

    ReplyDelete
  3. Wala siyo swala la uwaziri alikuwa anata uraisi

    ReplyDelete
  4. Ni nyinyi Viongozi wa CCM wa ngazi za juu muone haya. Inabidi mchukuliwe hatua kali. Mnang'ang'ania CCM ishike dola milele. Ni nyinyi mnajidharalisha. Kinachoshangaza toka Raisi wa awamu ya nne na mawaziri wote wa mambo ya ndani na nje, Mlisifika sana na wengine nnepewa medali nyingi za hali ya juu kuleta amani nchi nyingine. Kwenu mmeharibu. Hamjali. Mnasikiliza ya dunia mnaacha nyumbani bila nguo. Dunia agani unayoizungumzia. Ni Aibu kwa Watanzania nyumbani msiowaheshimu. MMliwaheshimu mataifa makubwa yenye inerests zao nchini na mmewapa. Sasa wanaogopa hwajui hatma zao . Mliwafanyia kazi zao na kuwatukuza, mkawalza chini Watanzania ambapo Magufuli mmemwachia mzigo mzito na bado hamridhiki na anayoyafukua.Ondoeni ujanja na mbinu chafu.

    ReplyDelete

Top Post Ad