AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kama Mwanaume, hili unalichukuliaje?
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Halingumu bongo mpakaulaya
ReplyDeleteGubu La MWanamke Wa Kiafrika Hadi Kero, Mwanamke Huyo Ni Mpenda Anasa, Hapo Lazima Atakuwa Amelazimisha Kulala Hotelini, Hv Kwanini Hakufikia Kijijini Kwao? Mwanamke Wa Kiafrika Akimpata Mzungu Basi Akili Yake Yote Ni Kudhani Anamihela
ReplyDeletefikra za masikini
DeleteHeeee kwenza nicheke Na hawa watoto si wake ndio maana anakimbia deni wake wapo ulayaaa
ReplyDeleteBibi wenyewe anatisha hiyo minywele ya bandia
ReplyDeleteNa huu mjoto Na nywele hizo harufu hadi nyumba ya pili pweeee
ReplyDeleteAlidhani kila mzungu dili..Amuulize Mange..kamasi za pua zinamtoka...
ReplyDeleteKaufyata mange
DeleteNa kutaja wenzie wauza unga wakati baba yake alikuwa nanawatuma watu kuuza unga
Hata mimi nilikuwa punda baba WA mange
Hakuna mtu baili km mzungu fyuuu atakoma nywele nyingi hajaoga wiki nasikia harufu hadi nyumbani kwangu
ReplyDeletePole yake
ReplyDeletePole yake
ReplyDeleteLabda alimtolea mzungu msululu wa matatizo. Nataka kufungua biashara, nataka kuhama hapa ninapokaa nikapange nyumba bora, mama yangu ana TB, mdogo wangu anahitaji ada, baba yangu kapooza, nataka hela niende saluni maana nywele hizi majanga....mzungu akoana asepe.
ReplyDelete