AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jackline Wolper Katika Pozi |
BAADA ya kupata wakati mgumu wa kushambuliwa na maneno kila akiweka picha mtandaoni ya Diamond ama Zari, staa wa filamu Bongo, Jacqueline Walper ‘Wolper’ ameweka wazi kwa kuwajibu, haoni tatizo kujipendekeza kwa hao watu.
Akichezesha taya na Amani, Wolper alisema kuwa, ilifika kipindi katika ukurasa wake wa Instagram watu wengi walikuwa wakimshambulia kwa maneno na kufikia hadi hatua ya kumtukana.
“Kiukweli mimi ni binadamu, nashangaa ukiweka picha ya mtu ooh, anajipendekeza ni sawa najipendekeza ndiyo na wala siyo uongo lakini kuna mtu ambaye inamuhusu?” Alihoji Wolper.
Source:
Global Publishers
Udaku Special Blog
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Worper ni mnafiki sana, anadhani Zari hajui kama nayeye alishaliwa na Domo
ReplyDeleteKoma wewe wema team mtausaga Mtama
DeleteUnafikiri domo anakutaka wewe fyuuuuuuu
Hata nililiwa si mwanamke mimi
Deletehivi ile hasuri yake iliishia wapi? au ndo anataka kurudi kwa Dai kiaina.
ReplyDeleteLipa umeme Na maji kabla hujaleta hapa
DeleteHapa kazi tu hatutaki madeni
hamuwezi kujua labda ni kipozeo cha Almasi, Zari akiwa ug
ReplyDeletewoote wachavuliwa chupi, hakuna jipya
ReplyDeletehata ukijipendekeza awezi kukuchukua tena. uchi wako umeexpire kwa kubadilisha mboo kila uchao.
ReplyDeleteWewe umedalisha ngapi Kila mwanaume anakikimbia
DeleteUna mtaro chini hata bulgoza linaingia
Maji maji midebwede fyuuuuuu
Duh
DeleteDuh!
ReplyDelete