AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kiba aliyasema hayo kwenye kipindi cha Playlist cha Times Fm alipotakiwa kuchagua wimbo wa kusikiliza ndipo alipouchangua wimbo huo na kutoa sababu hizo.
“napenda sana track hii jinsi ilivyo prodyuziwa kwa sababu sound naiskia vizuri sana kiukweli japokuwa ameimba lakini naweza kusema ameimba sio ile ki mature zaidi (kikomavu) ,ameimba ki teenage fulani..I wish ningeipata mimi” alisema Kiba.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Nyimbo zako za Kiswahili zinakushinda msonyo
ReplyDeleteWapeni sifa wasanii.vipaji vyao hamnavyo.wacheni chuki na roho mbaya.
Deletemnh kwani mtu hana haki ya kusema anachojickia NA ANACHOPENDA imba ww bac km unaweza waswahili choyo hakina faida ukiambiwa uigilize wimbo unakushinda ckwambii kutunga uimbe hata umgaie mtu cd bure hauckilizi kiba amesema anachopenda chuki hazijengi
ReplyDelete