AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Diamondplatnumz; I swear i Can't get use to your Cuteness...Kadada kabichiii... kama Embe la Msimu! 🍋@zarithebosslady "
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Dai anaona aibu imebidi amsifie ili watu waache kumcheka. hahaaaaaaa!
ReplyDeletekweli mbichi maana wale watoto 4. kawaokota jalalani na mmoja kakumbambikia. Hanith usojijua.
ReplyDeleteZari anajua unatia bongo, so anajitahidi kujichubua umuone mbichi na ulivyo limbukeni sasa.
ReplyDeleteHahaaaa, aibu na kujitoa fahamu Domo. umembambikia Tifa sasa unabambikiwa hata K.
ReplyDeleteAibu ya Wema kuwa na mimba, inaanza kumchanganya Almasi. hana jinsi maskini kaona bora amsifie kizee chake kisije kutoa siri ya Tee.
ReplyDeletetoo much edeting mpaka meno wamesahau kuya edit. wadanganye hao watandale wenzio.
ReplyDeleteKizee kinajitahidi kujiremba.
ReplyDeleteNAMPENDA WEMA TUU. BI KIZEE HANISHTUI KWA 360. NA KUJIEDIT
ReplyDeleteeti mbichiiiii lol na walompitia kabla yako waseme je? unatia aibu Dai.
ReplyDeleteDomo unachekesha walonuna. Ajuza kajitahidi aje akuonyeshe bado 25. kumbe 45.
ReplyDeletehata bi sadra mbichiiiiiiiiiiii. kama Zari. hahaaaaaaaaaaaaa
ReplyDeletesafari hii kaja bongo kawa mpole, kwa kichambo alichopewa na Wema.
ReplyDeleteDIAMOND KABEMENDWA NAE HAJUI ATENDALO. MTOTO WA KIUME UNASHIKILIWA KAMA NDIZI MWENDA WAZIMU WEWE UACHE KUTAFUTA SAIZ YAKO UOE UNAKAA NA HILO JIBIBI LIMESHINDIKANA KWAO UKAONA UOKOTE MATAPISHI FYUUUUUUU
ReplyDeletehahaaa. kweli mdau Anony 1.20 PM. Domo akalamba matapishi anajiona kabikiri kabisa.
ReplyDeletehata bi sandra ni mbichi kama Zarina maana umri wao sawa.
ReplyDeleteKazuri ila kapungue kidogo
ReplyDeletemi sina uhakika sana kama dai amesoma,na kama alisoma atakuwa alikuwa kilaza!1 kusoma hujui hata picha uoni dai. kuma itoe vichwa vinne halafu iwe bikira???
ReplyDeletedah! w2 mnachonga km ninyi wazr vle..!
ReplyDeleteLeeni mimba au isha toka
ReplyDeletehata baba watoto wake wa kwanza anasema hajapata wa kufanana naye,kwa hiyo DAIMOND anasema kweli dada mbichi
ReplyDeletedai hawezi kuchanganyikiwa na mimba ya wema kwani hapo kapita peke yake,mbona hakupata mimba kwa wengine,
ReplyDeletedia unaaibisha tanzania kila mwanamke wa nje anyejua kujiremba kwako nikamwanamke kabichi. ?@ ukuaji wake wote ulikua na dom nakuuliza?? Jiheshimu!!!!!!!!!!
ReplyDeleteCecilia makwinya ndugu yangu khaaa, we unamiaka mingapi hapo 60 nini maanaupo kama bibi mzaa mama yake na Zari unatisha
ReplyDeletemimi siyo mshabiki ila mmezidi maana kiuhakisia zari ni mwanamke mzuri sn ,na anasifa zote za kuitwa mwanamke pia ni mzuri kuliko wema kiuhalisi .
ReplyDeletemimi sio mshabiki ila wema anauzuri wa hasili hata akinyoa zungu anapendeza. huyo mwingine mganda ni lazima aweke mawigi na mavitu kibao mwilini ili afiche uzee wake. wema ni mzuri zaidi.
ReplyDelete