Kamari yamtoa Roho Mtanzania uko Nairobi, Kenya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kijana mwenye umri wa miaka 28 mwenyeji wa wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro ameuawa katika jiji la Nairobi Kenya baada ya kuwaua watu wawili kwenye Casino.

Watu walioshuhudia tukio hilo wamesema kijana huyo alikuwa amepoteza dola 300 za kimarekani baada ya kucheza kamari.

Baada ya hapo alijaribu kumsihi mwenye Casino arudishe pesa yake kwa kuweka simu yake rehani ndipo akaambiwa simu haikuwa na uwezo wa fedha hiyo ndipo akamchoma kisu mmiliki huyo na mlinzi wake katika mtaa wa Eastleigh.

Aidha baada ya kufanya tukio hilo umati wa watu ulimshambulia kwa kipigo na kusababisha kifo chake.

Jeshi la polisi limethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo kijana huyo alikuwa dereva bodaboda na inasemekana aliuza pikipiki yake na kucheza kamari katika Casino hiyo.
Chanzo BBC
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad