Kuna Wakati Nauchukia Umaarufu – Shamsa Ford

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amefunguka kwa kusema kuwa wakati mwingine anajuta kuwa maarufu.

Kupiti instagram, Shamsa ameandika.

"Umaarufu una raha lakini ubaya wake ukiwa maarufu ni ngumu kumjua mtu anayekupenda kwa dhati kwa sababu wengine wanaweza wakawa wanakufwata kwa ajili ya jina lako ili mradi awe karibu tu na wewe. Umaarufu Ubaya wake unakuwa Huna uhuru wa maisha yako.yaani tena ukiwaendekeza hao binadamu unaweza ukajikuta unaishi kwa matakwa yao which is not good coz mwisho wa siku kila mtu ataiaga dunia na kila nafsi itajitetea kivyake . .kitu kidogo akifanya mtu maarufu kinaweza kikawa kikubwa kuliko akifanya mtu wa kawaida wakati wote ni binadamu. Loh muda mwingine nauchukia umaarufu"
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hivi nawe maarufu shoga
    Huna kioo utamazame wanawake maarufu

    ReplyDelete

Top Post Ad