MPAMBE wa Wema Sepetu Petit man Apondwa Kuwa Hajui Muziki..Kisa Hiki Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

E-News ilizungumza na Mirror ambaye alionekana kumtetea meneja wake ambaye ni Petit Man.

Mirror alisema kuwa mashabiki wanapaswa kuwa na subira kwani mipango ya kumpandisha zaidi Mirror inaendelea kufanyika, na kusisitiza kinachohitajika ni uvumilivu tu wa mashabiki.

Petit Man naye alivunja ukimya na kuzungumzia tuhuma hizo na kusema mashabiki wawe wavumilivu na kuwa nyimbo za Mirror zina uhai mrefu na huwa zinakaa katika chati kwa muda mrefu hivyo hakuna haja ya kutoa nyimbo mara kwa mara.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad