Aina Mpya ya Uwizi wa Magari Dar es Salaam...Soma Hapa Uwe Makini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Gari imeibiwa jana , 23/4/2016 Shopper plaza- Mikocheni, mida ya saa 9 mchana.Ni Volkswagen Tourge, Blue color... Kama umeiona au unajua ilipo au unajua chochote tafadhali piga number hii ‪+255 715 066 278‬ au toa ripoti polisi.
.
Hii story ntaiandika in full ili na wengine muwe makini mnapokuwa mnauza magari. Dada alieibiwa alitaka kushare ili isije kumtokea mtu mwingine. Na tafadhali kama unajua lolote kuhusu hili gari pls piga 0715 066 278‬
.
Story iko Hivi. Gari ilipostiwa www.kupatana.com . Jumamosi akapigiwa simu na muhindi Kuwa kaipendaKufika muhindi akampigia akasema yuko busy Ila Fundi wake ataangalia gari, basi Fundi akafika akaangalia gari akaongea na muhindi akaondoka. Baadae accountant akampigia wakutane waangalie contract. Accountant kufika akatoa mkataba feki then akamuuliza Fundi si alitest drive gari? Akasema Hapana aliangalia tu. Basi akajifanya kupanick Yani hajatest drive ?akampigia muhindi, muhindi akampigia huyo dada anajifanya kahamaki Fundi wake haki test drive wakati yeye anajua VW zina Tatizo la shock up . Basi wakapanga wakutane Kesho yake ambayo ndo jana Kwa ajili ya kutes5 drive na kulipana kabisa.
.
Kesho yake dada wa watu akaenda shoppers plaza. Accountant akaja wakaingia wote kwenye gari wakadrive kidogo. Basi wakapaki accountant akamrudishia dada funguo yake wakashuka, akamwambia muhindi nae keshafika shoppers anataka aone mwenyewe so yeye anaenda kumtafuta upande wa pili wa shoppers then anakuja nae so awasubiri pale juu Art Cafe. . Dada wa watu akawa amekaa anawasubiri. Kasubiri mpaka kachokaaaaaa, jamaa hajarudi. Kuchungulia chini gari yake haipo.
.
.
Sasa unajua kaibiwaje?siku ya kwanza Fundi wa gari alipokuja alikuwa kaja kuangalia funguo wa gari ukoje. Wakaenda kutengeneza similiar looking key. So siku alipoibiwa jamaa alivyosema anataka kutest drive gari ni kwamba alitaka tu funguo ya gari. Then akamrudishia funguo fake ambayo imefanana na yake, Then wao wakabaki na original
.
.
Number aliokuwa anatumia muhindi ni 069 271 3707 na imesajiliwa TIGo Kwa Jina la Aleej Khimji. Number ya accountant ambae ndo aliiba gari alisema anaitwa Omar ni +255 715 936 985 na number ya Fundi aliejiita Joseph ni +255 715 937 547
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hiyo ni kazi ya polis kama ana namaba zao za sim na majina hiyo nikazi ya polis ya kuwasaka popote wasipo ila asante kwa kuujulisha uma

    ReplyDelete

Top Post Ad