Baada ya kuwepo kwa headlines nyingi kuhusu Siwema ambaye ni Mama Mtoto wa msanii wa bongofleva Nay wa Mitego kuhukumiwa miaka miwili jela kwa kile kilichokuwa kinaripotiwa kuwa ni makosa ya kimtandao, ukweli umewekwa wazi baada ya kufanya Exclusive Interview na wakili wa serikali Moris Mtoi, bonyeza play hapa chini kumsikia
----
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia BofyaHAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
LAANA YA KUTELEKEZA MTOTO INAMTAFUNA HUYU KAHABA
ReplyDeletewewe kweli ni mwalimu wa wapumbavu, tena unaongea kwa kujiamini as if una uhakika! Unamwita kahaba, kwani alimlala baba yako?
Delete