Young Killer Aizungumzia Picha Yake na Diamond

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Picha aliyoiweka rapa Young Killer kwenye ukurasa wake wa instagram akiwa na Diamond, imezua maswali kadhaa ya matumaini miongoni mwa mashabiki wake.

Young-Killer-na-Diamond

Rapa huyo wa Mwanza amepost picha akiwa na Diamond Plutnumz na kuandika:

Hakuna mtu aliye zaliwa ili aje awe maskini (ndiyo ) unaweza ukawa umezaliwa kwenye familia maskini ila ukweli ni kwamba hujazaliwa ili wew uje kua maskini….hivyo bas ::mafanikio uja kwa wale walio shindwa mara nyingi na wakajaribu tena kwa ujasiri.. (yes) mungu nisaidie yatimie .. with MSAFI @diamondplatnumz

Baada ya post hiyo iliyoibua maswali mengi, Bongo5 ilimtafuta Young Killer na kuzungumzia swala hilo.

“Hakuna kitu chochote kinachoendelea, nimepost tu,” alisema Young Killer. “Kama ikitokea nimesaini mtasikia. WCB ni label kubwa na kila mtu anatamani kufanya nayo kazi, kwa hiyo ikitokea nikajiunga pale ni jambo la heri sana,”

Bongo 5
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. dalili za uteja kabisa halafu bado kadogo

    ReplyDelete
  2. Alama za vidole mmeziona hizo? Comment mmeisoma mkaielewa? I.e contract signed, this worship itawa cost wengi sana!!

    ReplyDelete

Top Post Ad