AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Esma na mumewe huyo walionekana wako ‘beneti’ kwenye sherehe ya kuzaliwa mtoto wa staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel iliyofanyika hivi karibuni Hoteli ya Serena jijini Dar ambapo muda wote walikuwa katika nyuso za furaha na mtoto wao, Taraj.
“Naona sasa hivi Esma na Petit Man mapenzi yamerudi upya Mungu awaongoze,” alisikika mdada aliyekuwepo kwenye sherehe hiyo.
Kwa upande wa Petit Man alisema Esma ni mkewe na pia ni mzazi mwenzake hivyo hawezi kumuacha kirahisi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Aaaahhhh leo hii ndio umegundua ni mke wako eehhh. Baada ya kutosana na Sepenga au vipi? Kuwa mwanaume sasa, ulizidi na vitabia vyako vya kijingajinga vya kukalia matakoni mwa mwanamke fedhuli. Na bado utakuwa mtu mzima tu. Akili itakuja.
ReplyDelete