Imebainika Bifu ya Vanessa Mdee na Shilole ilikuwa Kiki tu....Soma Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Siku hizi kutafuta Kiki hata kwa kutukanana na mabeef imekuwa kitu cha kawaida kwa wasanii wetu hapa Tanzania...
Unaambiwa Ile bifu ya Wanamuziki warembo wawili Vanessa Mdee na Shilole imekuja kubainika kuwa ilipangwa ili kuvutia watu katika Show yao ya pamoja inayotarajiwa kufanyaka Club ya Bilcanas jijini Dar Jumapili hii...

Kwenye show hiyo Vanessa Mdee na Shishi Watapanda jukwaani kuonyeshana nani mkali kati yao..

Usikose mtu wangu...Chaaaaa Unakosaje sasa kushuhudia magumi na makofi ya Shilole akimchapa Vanessa Mdeee
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad