Maamuzi Mapya ya Chelsea Juu ya Nahodha Wake John Terry

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Klabu ya soka ya Chelsea leo May 13 2016 imeamua kutangaza maamuzi ambayo yalikuwa hayatarajiwi na wengi, kuhusu nahodha wake na beki wake wa kati John Terry ambaye ameichezea klabu hiyo kwa zaidi ya miaka 15, klabu leo imeamua kumpa nafasi ya kuongeza mkataba wa mwaka mmoja wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo.

John Terry mkataba wake unamalizika mwisho wa msimu huu, lakini mwezi January aliweka wazi kuwa ataondoka Chelsea kwa maana hatoongeza mkataba tena, lakini taarifa zilizotoka leo May 13 2016, ni kuwa klabu na mchezaji huyo wamekubaliana kuongeza mkataba wa mwaka mmoja.

Terry akiwa ndani ya klabu ya Chelsea toka mwaka 1998, amefanikiwa kucheza jumla ya mechi 703, mwaka 2005 John Terry alijumuisha katika kikosi bora cha dunia kilitangazwa na Shirikisho la soka duniani FIFA (FIFAPro World XI).
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad