AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
John Terry mkataba wake unamalizika mwisho wa msimu huu, lakini mwezi January aliweka wazi kuwa ataondoka Chelsea kwa maana hatoongeza mkataba tena, lakini taarifa zilizotoka leo May 13 2016, ni kuwa klabu na mchezaji huyo wamekubaliana kuongeza mkataba wa mwaka mmoja.
Terry akiwa ndani ya klabu ya Chelsea toka mwaka 1998, amefanikiwa kucheza jumla ya mechi 703, mwaka 2005 John Terry alijumuisha katika kikosi bora cha dunia kilitangazwa na Shirikisho la soka duniani FIFA (FIFAPro World XI).
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK