AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"TID ni mtu ambaye mi namuheshimu sana, ana mchango kwenye muziki wangu na mambo mengine, hata leo unaposikiliza ligi ndogo ni kati ya chorus kali sana ambazo mi naziheshimu sana, lakini kuhusu kutoka radar na vitu vingine, nilikuwa nataka nikutane naye mwenyewe kama mwanafamilia, kwa sababu naona ishu inaenda kwenye media", alisema Bill Nas.
Pia Bill Nas amesema hali hiyo inamuumiza hata kikazi pia, lakini ilimpasa kuondoka Radar, kwani muda wake wa kuwepo hapo ulishaisha.
"Kwa namna moja au nyingine hata mimi inanifrustrate sana kwa sababu kuna vitu vingi nataka kuvifanya, vitu vingi nataka kuviweka sawa, sasa ishu kama hii inaleta mkanganyiko fulani, lakini muda wangu mimi radar uliisha, natakiwa kufanya vitu vyangu vingine", alisema Bill Nas.
Hivi karibuni Bill Nas aliamua kuachana na Radar entertainment ambayo ipo chini ya TID, bila kutoa taarifa kwa msanii huyo, ambaye amechangia kwa kiasi kikubwa kufika alipo sasa.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK