Fella: Mwanamuziki Ruby Ana ‘stress’ Ndio Maana Hajaonekana Kwenye Video Yamoto Band

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ruby alikuwa ana ‘stress’ ndio maana alishindwa kutokea kwenye video ya wimbo SU wa Yamoto Band alioshirikishwa.

Meneja wa kundi hilo, Said Fella amekiambia kipindi cha E News cha EATV kuwa hiyo ndio sababu aliyokuwa akipewa na Ruby. Amedai kuwa baada ya kuona kuwa Ruby amekuwa akitoa sababu hiyo kwa muda na hawakutaka asishiriki akiwa hana mood, walilazimika kuifanya bila yeye.

Kwenye video hiyo anaonekana msichana mwingine akiimba sehemu ya Ruby.

Haijafahamika mara moja ni mambo gani yanamsibu muimbaji huyo kiasi cha kumpa msongo wa mawazo lakini kwa wanaofahamu, stress ni kitu kinachoweza kukuondelea mood ya kufanya vitu vingi.

Bongo5
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad