Kwanini Mwanaume Ukilala na Mwanamke Usipompa Hela Baada ya Tendo Anakudharau Sana?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Utamaduni wa wenzetu walioendelea huwa mtu akitoka out na mpenziwe mwanamke ndiye anaclear bill lakini kwa nchi zetu za kibongo ukimtoa mwanamke out atafanya kukukomoa aagize vitu vya gharama balaa isitoshe zaidi watoto wa chuo hakawii kubeba marafiki zake wa kutosha.

Sasa ukija swala la kudo iwe mchana au usiku mkimaliza anasikilizia unamtoa na sh. ngp usipomtoa ela anakudharau sana na huwa wananungunika sana.

Hivi wadau ukitoka kudo lazima umtoe mwanamke hela wakati starehe mmesikia wote na zaidi wao ndiyo wanasikia raha zaidi? Hapo umemtoa out mmekula, kunywa, hela ya lodge n.k, gharama ushatumia kama laki na nusu bado tena umtoe hela?
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Jitu choyo utalijua tu mwanamke ni gharama kumpa hela si kwamba unamuhonga unampa ajikim kama usafir kurudi anakotoka kuweka vocha ya simu kesho akija kapendeza unafurah kumuona wakat hela hutoi wenzio wanatoa wanamtunza we umebaki kwan lazma nimtoe nyooo...sasa kama umeshatumia laki na nusu kwa gharama zote hizo kwann usiongeze 50 umpe ya nauli...kujifanya kidume kumbe huna kitu mixxeeww....

    ReplyDelete

Top Post Ad