AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Siwema-akilia-kwa-uchungu-baada-ya-kuona-nyumba-mpya-ya-mume-wake
Mwezi April mahakama kuu ya Mkoa wa Mwanza ilimhukumu Siwema kifungo cha miaka miwili jela baada ya kukutwa na kesi kumtukana matusi kwa njia ya mtandao mlalamikaji ambaye anafahamika kwa jina la Deo.
Nay Wamitego amesema, “Ndiyo ana kifungo cha nje, nimemsaidia kama mzazi mwenzangu sijawahi kufikiria kurudiana naye. Nimefight mimi na ndugu zake ilimradi nitimiza kile ambacho niliwaahidi watu kile ambacho nilizungumza.”
Aidha Nay wa Mitego ameongeza kuwa ameonana na mzazi mwenzake huyo siku ya mwisho tangu amefungwa na wala hana mawasiliano naye tena kwa kukwepa kuanzisha mambo mengine yasiyokuwa na msingi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ndio apate akili.
ReplyDeleteAmelia kuiona nyumba mpya ya Ney,,,achanei ujinga waandishi Vilaza,,,
ReplyDelete