Mbunge Tundu Lissu Aachiwa Kwa Dhamana Baada ya Kulala Mahabusu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (CHADEMA) ameachiwa kwa dhamana, kesi yake yaahirishwa hadi Agosti 2.

Neno moja kwake
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

9 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Huyu mpenda sifa namgawa bure, anayemtaka amchukue!

    ReplyDelete
  2. jembe linaloetetea dmokrasia

    ReplyDelete
  3. Hapendi sifa wala nini anatetea anachokiamini... Kumbuka kwa sababu ya bungela ccm watalii 8000 wameahirisha safari zao za kuja tz, wafanyakazi wa makampuni ya utaliii wamepewa likizo bila malipo!! hii yote ni kwa sababu ya bajeti ambayo ni kandamizi kwa watz na kandamizi kwa uchumi wa tz!!! Peoples Powerrr

    ReplyDelete
    Replies
    1. maneno ya kipimbi hayo

      Delete
    2. Acha uongo msenge mkubwa wewe hizo statistics ni za uongo kabisa. Hakuna cha bajeti kandamizi wewe ndio fisadi mkubwa.

      Delete
  4. Mimi nawaomba wanasiasa watuachie mheshimiwa rais wetu afanye kazi inavyotakiwa mimi binafsi naona rais wetu ni mchapakazi na anatenda haki kwa watu wote HAPA KAZI TU hatutaki tena siasa

    ReplyDelete
  5. mh,kazi kweli kweli...

    ReplyDelete
  6. Ni kweli rais wetu anatenda haki lakini cc watu WA hali ya chini ndo tunaona na kukubali utendaji wa rais wetu. Ila tatizo lipo Kwa mafisadi wanajifanya wanatetea democrasia kumbe wamezibiwa myanya yao ya kupiga PESA. Wanatufanya cc wajinga wanadai wanatetea democrasia. Ni jambo gani baya rais kafanya? Walitaka rais wa namna gani? Wote wanomtukana rais ni wale waliokuwa wanapiga PESA.lissu alizoea kupindisha sheria bungeni akijifanya yeye ni mwanasheria sasa kakutana na binti mdogo aliyebobea kwenye sheria. Kwenye kupiga PESA wakakutana na hapa kazi tu. Wasitudanganye hali imekuwa mbaya kwao. Nawahurumia bendera fuata upepo wanaokimbia vikao na posho hampati. Wenzenu wana miradi Bilicanas inatema pesa kila cku. Wengine imekula kwenu. Na bunge lijalo msiingie kwani tutawaona mnamatatizo mkiingia na mwanasheria Tulia akiwepo.

    ReplyDelete
  7. Hakuna mtu asiyependa Rais Magufuli kutokufanya kazi aliyopewa. Lakini Palo hapo naye arcuate sheria za nchi. Nchi ilichafuliwa n.a. viongozi wa com kwa mudA mrefu sana. Ndiyo anaisafisha, alisukumwa n.a. wapinzani lazima a range hivi. No mujibu wake kamabkiongozi. Lakini nyinyi msozijua sheria ndio mnaliangusha Taifa hili. Inabidi watanzania wote wafunfiswe n.a. wazijue sheria zao zote badala us kubuguja maneno ksma kasuku. Hakuna kitu kibovu nchini kama ujinga.hawezi unazungumza n.a.mbinga anayejifanya anajua mambo ujumbe hajui. Anaweza kujua n.a. mwogopeni.kw as ni hajui anavhokisema ni utumbo. N.a. hili linaweza kuleta madhara m as kubwa sans nchini mwetu. No kidonds ndugu ikubwa cha Taifa letu teule la Tanzania. Uduni we elimu, kufikiri n.a. kujisukuma wenyewe.
    Sheria zikiwrkws sawa, kila mtu akazitambua akaziheshimu, skaishi kutokana n.a. sheria hizo, Maendeleo tutakayoyspsts Watanzania ni makubwa meno n.a. ya kudumu. Gundy zlisu ni mwsnasheria aliyekomaa.anshskikidha snazisoma n.a. kuzielewa n.a. hsropoki wala kukurupuka ksms viongozi wengine wsnskurupuka kufanya mambo fulsni wanaojua wengi ni mbumbumbu.he's mbumbumbu wstsbwsta kwa sauti kubwa hata mujibu utashindws.hapa ndipo tulipofikia. Matabska mawili tofauti kiudomi n.a. kiutendsji.No tatixo kubwa ambayo linajirufi kila baada ya utaweka mwingine.
    Kutoka uwekezaji tunawspa wageni kuja umiliki uchumi wetu mkuu ambao watoto. wetu tnsowsps elimu sass wstawstumikia m as bepsri wakuu wilaya wsliotuzidi akili, wsjanja. Wsnsitumia com kujiingia kinguvu n.a. kujimilikisha magesi yetu.kws nini msiyaache chini wsksti mkiendeles n.a. haya mliyoyaanza.harass us nini Wanaccm.Bado wsnsmiliki asilimia kubwa, kwani Muhongo mdomo hajui a thari zake kwamba mnspoteza sauti na wao ndo wenye sauti kubwa.wstawafosi.hsmjifunzi kutoka Saudi ws n as Maliki yote sababu wsmeinvest kwenye technology kwa watu wao ndo wenye elimu n.a. juzi hawaajili watu wilaya kuja kupima tena. Wanaojua kupima cha kweli wao wenyewe.nyinyi mnadanganywa .bado wasomi wetu hawawezi kutetea mali zao.na kama hampo tayari kielimu kwa nini mnawaruhusu waje wawatafuyltie wapi kwenye madini au gesi ambavyo kiuchumi taifa bado halipo tayari kufanya kazi hizi.wspinzani wengi wenye kujua sheria wanajua hil i.wanataka kuliepusha tsifa katika migongano na mabepari yatakayojitokeza baadae.mikataba mibovu. Halafu mtaliingiza taifa kubaya.kwa nini wanaccm hamlifikirii hili jambo.waio na elimu hawajuo haya mambo yanakuwaje,wanasapoti bila elimu. Kwa miaka hamsini mnaminya demokrasia ambayo ingewaelimisha Watanzania sababu ya woga n.a. kuwaogopa waliopotosha watanzania, he n.a. kwa nini mnawskingia migongo hawana viongozi, manufaa yake ni nini..kiongozi bora ni Yule angeweza kukaa n.a. wapinzani n.a. kuwa kitu kimoja n.a. kuliweka Taifa n.a. maslahi yake n.a. watanzania kwanza kabla ya chama.no shujaa wa na mna hii Taifa linamhitaji. Maumivu, msikivu, mwenye hekima n.a. busara, anayekubali kidifiwa pale anapotenda sawa n.a. kukoso Lewis n.a. kushauriwa pale anapokosea. No binadamu wewe.

    ReplyDelete

Top Post Ad