AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shilole na Msanii wake Mpya |
Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na video yake ya wimbo ‘SayMyName’, amekiambia kipindi cha Clouds E kinachoruka katika runinga ya Clouds TV, kuwa ameamua kuanzisha label hiyo ili kuwasaidia wasanii wenye vipaji lakini hawapati nafasi.
“Yeah nimemsani Amaselly aka Gaucho, kwa sababu ni msanii mwenye heshima, amenitafuta kwa muda mrefu, Shilole nisaidie nisaidie, kwa hiyo nikajifikiria, nikaamua kumsaidia,” alisema ShilolePia Shilole amesema amemsaini msanii huyo kupitia label yake mpya iitwayo Shilole Entertainment.
Kwa upande wa Amasely alimshukuru Shilole kwa uwamuzi wa kumsaidia huku akihaidi mambo mazuri.
Hii hapa chini ni moja kati ya kazi za msanii huyo ambayo aliifanya kipindi cha nyuma
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
hahahaaaa 'akihaidi'
ReplyDeletevichekesho shilole yaaani nimecheka hadi..... wewe kweli mfanya show yaani umekurupuka na label yako haya tupogo tunaangalia
ReplyDeletedu shilole na label ha ha ha mtu mwenyewe shilole hujafika popote kimuziki shilole unajulikana kwa kufanya show tuu lakini haujulikani kama ni mwimbaji mwenye talent mpaka uumsaidie mtu mwingine katika muziki wewe mwenyewe shilole unahitaji msaada mkubwa sana tu
ReplyDeleteshishi baby husiwaskilize watu.
ReplyDelete