The Industry Wapiga kambi SA Kushoot video 4 na Campos, ni ya Navy Kenzo na Tatu za Wasanii Wao

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kutoka Kushoto: Rosa Ree, Aika, Selina, Nahreel na Wildad wakiwa Afrika Kusini
Timu nzima ya label ya The Industry imepiga kambi nchini Afrika Kusini ilikoenda kushoot video mpya.
Si video moja, sio mbili na watu sio tatu – ni nne.

Aika amedai kuwa wapo nchini humo siku ya tano sasa na wanashoot video hizo na Justin Campos.


Video hizo ni pamoja na za kundi lake na Nahreel Navy Kenzo na tatu za wasanii wa The Industry, Rosa Ree, Seline na Wildad.

Sio mara ya kwanza kwa Navy Kenzo kushoot video na Justin Campos. Video za mwanzo ni Game na Kamatia zilizohit si tu Tanzania bali Afrika kwa ujumla.

Kwa kwenda kushoot video nne kwa pamoja, gharama za usafiri za kwenda na kurudi watu watano, malazi ni ishara kuwa The Industry imeamua kufanya kazi. Navy Kenzo walipata shavu la ubalozi wa Airtel hivi karibu hivyo huenda gharama hizo si kitu kwa sasa. Pongezi nyingi kwa The Industry.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad