AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Zitto Kabwe ametumia ukurasa wake wa facebook kujibu kauli hiyo kwa kuonyesha kusikitishwa huku na kusema kauli hiyo wao kama wazalendo wanaichukulia kama ni vita dhidi ya demokrasia.
"Tumepokea kwa mshtuko na masikitiko makubwa kauli ya Rais kwamba vyama vya siasa havipaswi kufanya siasa isipokuwa wakati wa Kampeni na kupitia bungeni. Tunaichukulia kauli ya Rais Kama tangazo la vita dhidi ya demokrasia na uhai wa vyama vingi nchini. Chama chetu kitaitisha vikao vya dharura kujadili hali ya nchi na namna ya kukabiliana na mashambulizi yanayoendelea dhidi ya demokrasia nchini mwetu". Aliandika Zitto Kabwe
Mbali na hilo Mbunge huyo aliwataka wanasiasa pamoja na vyama vya siasa kuungana pamoja sasa katika vita hii dhidi ya demokrasia na kuacha tofauti zao ili kuweza kufikia lengo hilo.
"Tunatoa wito kwa Vyama vyote vya siasa nchini kuunganisha nguvu katika kuhakikisha tunapigana vita hii pamoja. Huu ni wakati wa vyama vya siasa na wanasiasa kuacha tofauti zao na kupambana kulinda uhuru wa kufanya siasa wakati wowote kwa mujibu wa Sheria. Tunatoa wito Kwa wananchi wote na taasisi za kiraia kusimama imara Katika Kulinda demokrasia. Tunasisitiza kuwa ushahidi wa kisayansi unaonyesha kuwa huwezi kuua demokrasia bila kuua juhudi za maendeleo. Tusiruhusu mtu yeyote mwenye mamlaka kuua demokrasia nchini mwetu". Alisisitiza Zitto Kabwe
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
naogopa kukamatwa
ReplyDeleteAcha wewe umepotez mwelekeo na ubor ulio jijengea unaanza kudidimia. Heb ban Zitto jielew ndug laa sivy utakuj kujuta 2020.
ReplyDeletehivi kwa nini huyo raisi hapendi kukosolewa???chukua tahadhari ndugu yangu siyo mpaka akuchukulie mkeo au mumeo ndio ushtuke,nakupa mfano tu.
Deleteyaani wewe anony 10.25 ni mjinga yaani anavyofanya huyo zitto ni kwa jili ya kumkosoa rais au anafanya ujinga tuu? hata wewe nafikiri ni kama hiyo zito maana hujielewi
DeleteTanzania umekuwa hivi mbona kazi
ReplyDeleteSiasa ya ujamaaaaaaaa oyeeeeeeedr
Mabepari mlie
wacha maneno yasio kuwa na msingi mjinga wewe usipenda amani mbn hujielewi wewe niwakuwekwa ndani na yeyote mwenye kero kama lako bwana tunataka amani na umuache raisi Magufuli afanyw kazi yake
ReplyDeleteNi kweli atutaki siasa matope mda huu fanyeni kazi mda wa siasa ushapita. Kwa sasa watanzania tunataka maendeleo na sio siasa.
ReplyDeleteKosa la zito lipi
ReplyDeleteLike teja bungeni kulalamika eti kavuliwa kofia eti anatakiwa na yule mbunge mwanamke wa ukawa
Hili teja ana nini alikuwa boyfriend wangu zamani nikamkacha kwanza hata chini hanaaaaaaaa
Kiduchu
Hata Suna hajenda anunuka hajioshi akikojowa
Kanzu na filimbi wapi
Fyuuuuuuuu
Udaku Eeeh.. Nakuombeni msituletee huyu ..mnamfata huko fesibuku halafu mnatuletea hapa.. Mimi nimeshamtoa katika like halafu nikamdeliti.. Ajili hana mpango huyuuuu!!! Nakuombeni tukimtaka tutamfa huko fesibuku.. Huko Mirembe anapata netiwoki? manakee yeye mwenyewe netiwoki inagonga mnara.. Sasa mlicho tuletea kaandika nini Mnawelew??? Msituletee tafrani asubuhi asubuhi... Zitti alikuwa siku zile miaka ile lakin si sasa kwenda mbele.... Msituletee tena upuuzi wake.
ReplyDeleteUdaku Eeeh.. Nakuombeni msituletee huyu ( Mwasasa Uchwara) ..mnamfata huko fesibuku halafu mnatuletea hapa.. Mimi nimeshamtoa katika like halafu nikamdeliti.. Ajili hana mpango huyuuuu!!! Nakuombeni tukimtaka tutamfa huko fesibuku.. Huko Mirembe anapata netiwoki? manakee yeye mwenyewe netiwoki inagonga mnara.. Sasa mlicho tuletea kaandika nini Mnawelew??? Msituletee tafrani asubuhi asubuhi... Zitti alikuwa siku zile miaka ile lakin si sasa kwenda mbele.... Msituletee tena upuuzi wake.
ReplyDeleteHivi huyu ana tatizo gani??? Kama siasa ni kazi yako lakini kila kitu kwa wakati wake
ReplyDeleteMara oh tunaishitaki serikali mara or demokrasia imebakwa mara ohh Tulia hivi mara ohh tutangaze vita dhidi ya kuuwawa kwa demokrasia
Hawa ishu yao ni moja tu ni BUNGE LIVE kwani wanataka kuonekana na kufika nyumbani na kumuuliza mwenzao "ULINIONA" majinga haya ni bahati mbaya kwa Tanzania kuwa na watu wenye fikra au mawazo kama hawa Mungu linusuru taifa letu
Kupe wewe... yaani umetuona sisi watz ni vilaza sana hatuelewi kuwa hofu yenu ccm ndiyo inafanya kila kitu mnabana!!! fanyeni fair kama UK tu, ili tujipime...
Delete