AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Irene Uwoyo
Muigizaji huyo ameimbia Bongo5 kuwa hakuwa na matarajio yakuteuliwa lakini kama angeteuliwa angeitendea haki nafasi hiyo.
“Mimi sijaomba wala sijawai kusema kama nataka hiyo nafasi, lakini kama ikitokea naiweza sana, nipo vizuri sana ndio maana hata nikathutu kugombea ubunge kwa sababu nilijua naweza kuongoza,” alisema Irene Uwoya.
Muigizaji huyo mahiri aligombea ubunge wa viti maalum Tabora lakini akakosa na kuhaidi kujipanga katika uchaguzi ujao.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Malaya wewe uwe mkuu wawilaya?
ReplyDeleteShoga jitazame jipime
Shule umekwenda
Magu hatoi vyeo vya uzuri wa sura au umbo
Sahau Kabisa
Elimu Elimu si swala la kupeana tu. Stupid
ReplyDeleteKoma wewe malaya mchanga usiyejuwa kuchamba wala kutawaza
DeleteSi elimu to hata maadili
Uku wa wilaya ulikuwa bure awamu ya nne
Magu anampenda mkewe bi Jannet machangu mlie tu
Kwa kichwa na elimu gani uliyonayo wewe mama naniiii.... upewe wadhifa huo wa mkuu wa wilaya hiyo siyo sehemu ya kutengeneza nywele kupaka rangi za kucha kujipaka wanja na full time smart phone ipo mkononi mtandaoni unachat please think twice kabla kuropoka hovyo hiyo siyo ule uozo wenu wa kuitwa"BONGO MOVIES"
ReplyDeleteKwa kichwa na elimu gani uliyonayo wewe mama naniiii.... upewe wadhifa huo wa mkuu wa wilaya hiyo siyo sehemu ya kutengeneza nywele kupaka rangi za kucha kujipaka wanja na full time smart phone ipo mkononi mtandaoni unachat please think twice kabla kuropoka hovyo hiyo siyo ule uozo wenu wa kuitwa"BONGO MOVIES"
ReplyDeleteKipindi hiki sio kama kile cha muda uliopita!! Uongozi sio maneno wala usanii,Si kuhukumu ila sioni kama una kasi ya kwenda na raisi wetu. Kagipange upya!!
ReplyDelete