Kamanda wa Polisi Kayaongea Kuhusu Mtanzania Aliyewekwa Rehani Pakistani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya wiki hii katika mitandao ya jamii kusambaa video inayomuonesha kijana mtanzania anayetambulika kwa jina la Adam Akida anayedaiwa kuwekwa Rehani nchini Pakistani kutokana na biashara ya dawa za kulevya.

Kamanda wa polisi mkoa wa Kinondoni, Christopher Fuime amezungumza kuhusu mtanzania huyu na kusema…
Ile issue tumeifuatilia kwa bahati mbaya imeshaenea katika vyombo mbalimbali vya habari kwahiyo imekuwa ni vigumu sana kuwapata ndugu wake wa karibu lakini bado tunaendelea kufanya uchunguzi wa hali ya juu kuhusu huyu mtanzania aliyewekwa Rehani‘ Christopher Fuime
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad