Marufuku ya Mafuta ya Kulainisha KY Jelly yazua Mjadala

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mjadala mkali umeendelea nchini Tanzania Kufuatia waziri wa afya wa nchi hiyo kupiga marufuku utumiaji na usambazaji wa vilainishi vinavyotumiwa na wapenzi wa jinsia moja.

Waziri huyo wa Afya Ummy Mwalimu hapo juzi alitanganza kupiga marufuku vilainishi hivyo kwa madai kwamba vimekuwa vikitumiwa vibaya na wapenzi wa jinsia moja na hivyo kusababisha kuenea kwa maambukizi ya virusi vya Ukimwi.

Hata hivyo muda mfupi baada ya marufuku hiyo raia wa nchi hiyo walikuwa maoni tofauti.
Mjadala huu uliibuka siku chache baada ya kauli ya hiyo ya waziri wa Afya wa Tanzania Ummy Mwalimu alipozungumza na waandishi wa habari kuthibitisha kuzuiwa usambazaji wa vilainishi hivyo akidai kuwa inatumika kwa namna ambayo sio sahihi.

Wananchi wa nchi hiyo wengi wanataka suala hilo kujadiliwa kwa upana na serikali ifahamu wapi penye tatizo ili liweze kutatuliwa.

Vilainishi hivi vinavyotajwa kuwa chanzo cha maambukizi ya virusi vya Ukimwi kwa kuhusishwa zaidi na watu wa mapenzi ya jinsia moja.

Hata hivyo,Wataalam wa masuala ya afya wanathibitisha kuwa yapo matumizi mengi yatokanayo na vilainishi hivi iwapo vitatumika ipasavyo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Pumbavu huyu waziri
    Au naye msago
    Hatujasukia wala kuona picha ya mumewe
    Kuna vitu vingi tunaweza kutumia
    Ushoga si ugonjwa bibi tuache
    Una nini wewe ummy usiye umika

    ReplyDelete

Top Post Ad