AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Nakaa Magomeni Mtaa chem Chem na Idrisa kwa hiyo Mwambieni Juma, Mama yangu anaitwa Rukia Daudi Baba yangu anaitwa Akida anakaa idrisa na Chem Chem mwambieni Juma amekula Hela za watu mimi kaniweka Gelenta huku ( Bondi ) mama yangu anaitwa Rukia Daudi mama yake mama yake Juma anaitwa Mariamu Rauwa kwaiyo juma afanye arudishe hela za watu Juma anakaa Kunduchi”. kama unamfahamu huyo Juma mama yake mfikishie ujumbe huu..
Sambaza Habari hii imfikie JUMA na ndugu zake kokote walipo..
Angalia Video hii Hapa..
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mmmh tamaa hizi jamani
ReplyDeleteDuuuuh balaaa...jamn...lakn mbona kama haina uhalisia..
ReplyDeleteOops kweli jamani hii
ReplyDeleteAu utapeli mpya
Police wa India wanavaa nguo hizi ?
Wewe vipi polisi wanahusika na biashara ya unga hao ndo makingpin wanataka chao wapelekeeni
DeleteJamani huyu mtu nimemuonea huruma. .ubalozi si wamsaidie?
ReplyDeleteHakuna kitu hapo ni geresha tuu hiyo,huwezi ukapigwa na wauza unga halafu waitoe hiyo film!
ReplyDelete