AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Babu Tale alisema haya kupitia kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio na kudai wasanii hao waliamua kuondoka chini ya uangalizi wake lakini kwa sasa wana maisha mabovu na yeye ana maisha mazuri.
“Unajua mtaa ndiyo uliwaambia wasanii waliondoka kwangu kuwa Babu Tale mwizi, na wakaaondoka Tip Top Connection lakini sasa hivi wasanii hao hao walioondoka kwangu wao wana maisha mabovu, wakati mimi na maisha mazuri. Wanakuja kwangu saizi wanataka niwasimamie kazi zao lakini mimi nasema sasa siwezi kwani wasanii nilio nao wananitosha” alisema Babu Tale.
Mbali na hilo Babu Tale alitoa ufafanuzi juu ya ukimya wa msanii Tunda Man na kusema kuwa wakati wake bado haujafika ila ukifika atarudi tu kwenye game na kudai kuwa saizi wana mpango wa kuachia ngoma nyingine ya Dogo Janja.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Funga Domo lako wewe una nini
ReplyDeleteFyuuuuuu
Uko Kama domooo
Lakini kila chenye mwanzo kina mwisho
sembe
ReplyDelete