AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kafie mbele na unafiki wako,umetimiza wajibu wako wa kidemokrasia wakwenda chama utakacho.hakuzuii mtu lkn usiseme ukuta ni ujinga..pumbavuuu
ReplyDeleteHukuwa na nia. Mwenye nia na moyo tu anaelewa. Kwaheri. Lakini kunasiku utakuja kujua .
ReplyDeleteAsante Mungu.Hakuna maandamano ya AMANI ikiwa watu mnataja neno DIKTETA,mkiiamini kuna udikteta TZ na kwamba kuandamana kwenu kutasadia kuungoa u-dikteta,hapo ni dhahiri shahiri hasira na chuki vitatawala.Wapenda AMANI tumo makanisani/misikitini tunaomba,na Mungu wetu asiyependa mafarakano kamwe hatashindwa kuzuia hili.MUNGU IBARIKI TANZANIA.
ReplyDeleteNimeipenda sana hii mdau na Mungu akubariki na wewe.
DeleteMUNGU WETU ANAJUA SIRI YA KUKUPA ROHO HIYO YA KUUKANA UKUTA,JINA LAKE LIHIMIDIWE.
ReplyDeleteUKUTA LENGO LAKE NI KUWAVUNJA MOYO WANANCHI AMBAO TAYARI TUMEANZA KUMUAMINI JPJM NA MAWAZIRI WAKE.TUNAKEMEA KWA JINA LA YESU,NA WOTE WENYE NIA HIYO WATAMKA WAMEPOOZA MIGUU YAO,MACHO YAO YAKAONE CHECHE.
ReplyDeleteGOD BLESS TANZANIA.
ReplyDeleteAaaamen na bado wataangushwa kama UKUTA wa Babel.
ReplyDeleteni jukuku lenu kusali ni mgawanyo wa majukumu.kila na majukumu yake
ReplyDeleteutapooza wewe
ReplyDeleteBora wewe umeliona hilo.
ReplyDeleteMungu akubariki sana.