Alichofanya Mfakanyazi wa Shirika la Ndege la Ethiopia Alipookota Bahasha Yenye Milioni 21.8

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Shirika le Ndege la Kimataifa la nchini Ethiopia limempongeza hadharani mmoja wa wafanyakazi wake kwa kurejesha fedha kiasi cha dola elfu 10 (sawa ni shilingi milioni 21.8) zilizokuwa zimesahauliwa na mmoja wa abiria aliyekuwa kwenye ndege.

Shirika la ndege la Ethiopia lilichapisha pongezi hizo kwenye ukurasa wake wa Facebook na kumpongeza mfanyakazi wa ndege hiyo Roza Shiferaw kwa kurudisha dola elfu 10 zilizokuwa ndani ya bahasha mali ya mmoja wa abiria.

Shirika hilo liliongezea kuwa kitendo alichokifanya Roza ni ushahidi tosha kuwa shirika hilo lina wafanyakazi wenye maadili na heshima kwa wateja wao.

Uongozi wa shirika hilo haukueleza zaidi kuwa abiria aliyesahau fedha hizo ni nani na mfanyakazi huyo alizikuta wapi.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. UJINGA HUO DOLA 10,0000 UNAOKOTA HUMJUI HATA ALODONDOSHA UNAPEKA KWA UONGOZI SI UFALA HUO

    ReplyDelete
  2. Enter your comment...GOD RESPECTED

    ReplyDelete

Top Post Ad