Lulu Diva Agawa Penzi Kisa Pesa Sh Milioni Moja na Nusu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MUUZA sura kwenye video za Kibongo, Lulu Abbas ‘Lulu Diva,’ amefunguka kuwa katika maisha yake hata siku moja hawezi kusahau jinsi alivyolazimika kugawa penzi kwa mzee, kisa pesa za kumtibisha mama yake mzazi ambaye alikuwa anaumwa hoi!

 Lulu aliongeza kuwa wakati akifanya tukio hilo alikuwa ni msichana mwenye umri wa miaka 18, ambaye hakuwa na kazi na ilihita kiasi cha shilingi milioni moja na nusu kwa ajili ya kulipia ghalama za matibabu ya mama yake, pesa ambazo kama familia walikuwa hawana uwezo wa kuzipata.

“Unajua mimi nyumbani nimezaliwa mwenyewe, baba alifariki kitambo nikiwa mdogo na sina kaka wala dada, sasa mama yangu alipokuwa anaumwa wakati huo, kuna mzee mmoja mwenye uwezo tu nilikwenda kumuomba msaada ili anipe pesa nimpeleke mama hospitali, baada ya kumlilia shida alikataa kunisaidia bila kufanya naye mapenzi.

“Kwa kuwa nilikuwa ninashida ilibidi kukubali ili tu mama yangu apate matibabu lakini kiukweli, tukio hilo mpaka leo halijafutika akilini mwangu!” alimaliza Lulu Diva.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad