AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Licha ya kuonekana kufanya vizuri mpaka kufikia kiasi cha kuwashawishi wasanii wa muziki mwingine kujiingiza katika muziki huo, wapo baadhi ya watu wameonekana kutokuwa na imani nao.
Nilifanikiwa kupiga story na msanii mkongwe wa Bongo Flava, Juma Nature, mapema wiki hii katika studio zake za Halisi Records kuhusu muziki huo ambapo yeye alidai kuwa Singeli ni muziki ambao hautoishi kwa muda mrefu bali unapita tu kwasababu ni muziki wa kihuni.
“Singeli itapita tu kwasababu ya uhuni,” alisema. “Unajua raia wengi wa Bongo hawapendi mambo ya kipumb*vu pumb*vu na mashabiki wetu wengi sana sio wahuni ila wahuni wanakuja katika hizi section, so wakija kwenye section hapo muziki hakuna tena,” alisema Nature ambaye hivi karibuni aliachia ngoma yake mpya iitwayo Mtumba.
By Edward Fabian
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
KWELI KABISA,NA NDIO MAANA SINGELI INABAMBA SANA MITAA YA USWAHILINI AMBAKO WAHUNI NDIO WENGI.
ReplyDelete