TID na Bill Nas Wapatana...Waingia Studio Kuandaa Wimbo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii mkongwe wa muziki TID pamoja na rapa Bill Nas wameingia studio kuandaa project mpya ambayo bado hawajaweka wazi ni project ya namna gani.

Miezi kadhaa iliyopita, TID alilalamika kuwa Bill ni mtu mwenye tamaa na asiye na shukrani baada ya kuondoka Radar Entertainment licha ya kumlea na kumfikisha pahali.

Kwa sasa wawili hao wapo pamoja na wanaonyesha ushirikiano katika mambo yao ya muziki.

Alhamisi hii Bill Nas alipost picha instagram akiwa na TID na kuandika:
#inthekitchen with @tidmusic !! #NENGA #itsbeenawhile Yo! 2ko Around Mazeee
Bill Nas aliwahi kumshirikisha TID kwenye wimbo ‘Ligi Ndogo’ ambao ulifanya vizuri.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad